Wednesday, July 20, 2011

zinduzi wa Tamasha La Mzanzibari Lafana

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Mohammed Aboud Mohammed akizinduwa Tamasha hilo la 17 la Mzanzibar kwa kupiga bastola kuashiria kuazisha resi za ngalawa.
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Mohammed Aboud akitowa hutuba ya Ufufunguzi wa Tamasha la 17 la Mzanzibar lililofanyika katika Ufukwe wa Pwani ya Nungwi.
WASANII wa Oman wakifuatilia maonesho ya tamasha la Mzanzibar, nao walialikwa kuonesha ngoma za Utamaduni wa kwao.
KIKUNDI cha Taarab cha Sanaa wakiimba wimbo maalum wa Zinduzi wa Tamasha.Picha na Mdau Othman Maulid Othman-Zanzibar

No comments:

Post a Comment