Saturday, August 6, 2011

Balozi Wa Zambia Nchini Amtembelea Rais Wa Zanzibar Dk Ali Shein

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein akifuatana na mgeni wake Balozi wa Zambia nchini Tanzania Mama Mavis Lengalenga Muyunda, aliyefika Ikulu Mjini Zanzibar Leo kuzungumza na Rais
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein akisalimiana na Balozi wa Zambia nchini Tanzania Mama Mavis Lengalenga Muyunda aliyefika Ikulu Mjini Zanzibar Leo.Picha na Ramadhani Othman,Ikulu-Zanzibar

No comments:

Post a Comment