Mchezaji Nazir Khalfan Atinga Ikulu Kumshukuru Rais Jakaya Kikwete na Kumkabidhi Jezi
Mtanzania anaecheza Soko la Kulipwa katika timu ya White Caps ya Jijini Vancour Canada Nizar Khalfan akimkabidhi Rais wa Jamhuri ya Muuungano wa Tanzania Jakaya Kikwete jezi ya timu anayoichezea wakati alipokwenda kumsalimu na Kumshukuru Rais Jakaya Kikwete Ikulu Jijini Dar Es Salaam.Picha na Freddy Maro-IKULU
No comments:
Post a Comment